Kimataifa

Kikosi cha Coastal Union Vs Bravos do Maquis Leo, Agosti 17

Kikosi cha Coastal Union Vs Bravos do Maquis Leo

Kikosi cha Coastal Union Vs Bravos do Maquis Leo 17/08/2024 Kombe la Shirikisho CAF | KIkosi cha Coastal Union Leo

Wagosi wa Kaya, Coastal Union, leo tarehe 17 Agosti 2024, wanatarajia kuanza rasmi kampeni yao ya kimataifa kwa kupambana na Bravos do Maquis ya Angola katika mchuano wa kufuzu hatua ya awali ya michuano ya Kombe la Shirikisho la CAF 2024/2025. Mchezo huu utafanyika katika uwanja wa Estadion Nacional, uliopo Lubango, Angola, ukianza rasmi majira ya saa 12 jioni kwa saa za Afrika Mashariki.

Coastal Union, inarejea tena kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho la CAF baada ya kuwa nje kwa zaidi ya miongo mitatu. Mara ya mwisho timu hii kushiriki katika michuano hii ilikuwa mwaka 1989, hivyo ushindi katika mchezo huu wa leo unamaanisha mengi kwao, si tu kwa kujiweka katika nafasi nzuri ya kufuzu hatua inayofuata, bali pia kwa kuendeleza hadhi yao katika medani ya soka la kimataifa.

Kikosi cha Coastal Union Vs Bravos do Maquis Leo 17/08/2024 CAF

Wakati tunasubiri kikosi rasmi cha Coastal union leo ambacho kinatarajiwa kutangazwa saa moja kable ya mchezo kuanza, habariforum tumejaribu kutabiri kikosi cha wagosi wa kaya kitakacho anza katika mchezo huu wa kombe la shirikisho Afrika.

  • Chuma
  • Jackson
  • Miraji
  • Issa
  • Abdallah
  • Semfuko
  • Denis
  • Ramadhani
  • John
  • Lucas
  • Hernest
Kikosi cha Coastal Union Vs Bravos do Maquis
Kikosi cha Coastal Union Vs Bravos do Maquis

Leave a Comment