Simba SC

Simba SC imetangaza Kamati ya Mashindano

Simba SC imetangaza uteuzi mpya wa kamati ya mashindano, hatua inayolenga kuimarisha utendaji wa timu. Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Mohammed Dewji ‘Mo’, amewateua wajumbe saba watakaohusika katika uendeshaji wa mashindano hayo. Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya klabu iliyotolewa leo Agosti 1, 2024.

Simba SC imetangaza Kamati ya Mashindano
Simba SC imetangaza Kamati ya Mashindano

Majina ya Wajumbe Walioteuliwa Kamati ya Mashindano

  1. Mohamed Nassor
  2. Azan Said
  3. Richard Mwalwiba
  4. Nicky Magarinza
  5. Juma Pinto
  6. Farid Nahdi
  7. Farouk Baghozah

Uteuzi huu unatarajiwa kuleta mabadiliko chanya katika utendaji wa Simba SC, ikiwa ni sehemu ya jitihada za klabu hiyo kuendelea kuwa na mafanikio katika mashindano mbalimbali. Wajumbe hao saba wataleta uzoefu na ujuzi wao katika nyanja tofauti, jambo litakalosaidia kuimarisha timu na kufikia malengo yake.

Leave a Comment