Soka

Matokeo Simba Vs Tabora United Leo, + Video

Matokeo Simba Vs Tabora United Leo, 18 Agosti Ligi Kuu, Matokeo ya Simba Leo Dhidi ya Tabora United

Matokeo Simba Vs Tabora United
Matokeo Simba Vs Tabora United

Leo tarehe 18 Agosti 2024, klabu ya Simba SC itashuka dimbani kuikabili Tabora United katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/2025. Mechi hii itafanyika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, ikitarajiwa kuanza saa 10:15 jioni.

Mchezo huu unachukuliwa kwa uzito mkubwa na mashabiki wa Simba SC ambao wanamategemeo makubwa ya kuona timu yao ikianza msimu mpya kwa kishindo baada ya kushindwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu kwa misimu mitatu mfululizo.

Matokeo Simba Vs Tabora United Leo

Simba Sc3 – 0Tabora United

Simba SC Vs Tabora United Leo 18/08/2024

Simba SC ilianza safari yao ya kutafuta ubingwa kwa mchezo mkali dhidi ya Tabora United. Matokeo ya mchezo huu yatatoa mwanga kuhusu mwelekeo wa timu hizi mbili katika msimu mzima wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2024/2025. Mashabiki wana matumaini ya kuona mabadiliko makubwa kutoka kwa timu zao pendwa msimu huu.

Matokeo Simba Vs Tabora United Leo

Leave a Comment