Soka

Vikosi vya Singida Black Stars na Kengold FC Leo 18/08/2024

Vikosi vya Singida Black Stars na Kengold FC Leo

Vikosi vya Singida Black Stars na Kengold FC Leo

Leo tarehe 18 Agosti 2024, mashabiki wa soka watashuhudia mechi kali kati ya Singida Black Stars na Kengold FC katika Ligi Kuu Tanzania Bara. Mchezo huu unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa, hasa ukizingatia kwamba Kengold FC ndio mara yao ya kwanza kushiriki ligi, wakati Singida Black Stars tayari imejenga uzoefu kwenye ligi hiyo.

Vikosi vya Mechi ya Leo

🏆 NBC Tanzania Premier League
Kengold FC vs Singida Black Stars
📆 Tarehe: 18 Agosti 2024
🏟 Mahali: Uwanja wa Sokoine, Mbeya
🕖 Muda: Saa 8:00 Mchana

Kikosi cha Kengold FC:

Kikosi cha Kengold FC

STARTING XI

  • 1.Mussa
  • 2.Makenzi
  • 3.Bilal 4.Mwaipopo
  • 5.Asanga
  • 6.Mandazi
  • 7.Ugando
  • 8.Sangija
  • 9.Joshua
  • 10.Daud
  • 11.Lukindo

SUBS
Castor,Steven,Salum, Lubinda,Hamad,Cabaye, Mpuka,Materazzi, Msuva,Faraj

Kikosi cha Singida Black Stars:

Kikosi cha Singida Black Stars

STARTING IX

  • 23 METACHA
  • 10 TCHAKEI EC
  • 6 KEYEKEH
  • 13 TRA BI
  • 15 GUEDE
  • 19 IMORO
  • 21 CIRILLE
  • 28 TANIMU
  • 32 CAMARA
  • 38 RUPIA
  • 60 ARTHUR

SUBS:
HAULE, 4.KHALID,MBEGU, 7LYANGA, 12.MAJIMENGI, 17.KYOMBO, 18.MANYAMA, 26.KENNEDY,40.SANGA, 47.KAWAMBWA

Vikosi hivi vimeandaliwa kwa umakini mkubwa na makocha wao, huku kila timu ikilenga kupata alama tatu muhimu. Mashabiki wanasubiri kwa hamu kuona nani ataibuka na ushindi katika mechi hii.

Leave a Comment