Soka

Kikosi Kipya cha KenGold FC kwa Msimu wa 2024/2025 (Wachezaji wote)

Kikosi Kipya cha KenGold FC kwa Msimu wa 2024/2025

Kikosi Kipya cha KenGold FC kwa Msimu wa 2024/2025

Klabu ya KenGold FC, iliyopo Mbeya, imepata mafanikio makubwa baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara msimu wa 2023/2024 (NBC Championship). Ushindi huu umewapa nafasi ya kupanda daraja na sasa watachuana katika Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2024/2025. Hapa chini ni orodha ya wachezaji wote wanaounda kikosi cha KenGold FC kwa msimu huu mpya wa Ligi Kuu.

Makipa wa KenGold FC

  • Castor Muhagama
  • Mussa Mussa

Mabeki wa KenGold FC

  • Asanga Stalon
  • Amuken Lubinda
  • Tungu Robert
  • Steven Mganga
  • Castor Costa
  • Makenzi Kapinga
  • Charles Masai
  • Salum Iddrisa
  • Bilal Amin
  • Ambukise Mwaipopo
  • Martin Kazila

Viungo wa KenGold FC

  • Masoud Cabaye
  • Hamad Nassoro
  • Said Mandazi
  • George Sangija
  • Amir Njeru

Washambuliaji wa KenGold FC

  • Adam Uled
  • Emmanuel Mpuka
  • Mshamu Daud
  • James Msuva
  • Salum Chobwedo
  • Hija Ugando
  • Poul Materazi
  • Herbert Lukindo
  • Kelvin Nurki
  • Joshua Ibrahim

Benchi la Ufundi la KenGold FC

  • Fikiri Elias – Kocha Mkuu
  • Luhaga Makunja – Kocha Msaidizi
  • Jumanne Charles – Kocha Msaidizi
  • Aswile Asukile – Kocha wa Makipa
  • Nuhu Mkolekwa – Meneja wa Timu
  • Stanley Ndimwene – Daktari wa Timu
  • Latifu Masesa – Meneja wa Vifaa

KenGold FC inatarajiwa kuleta ushindani mkali katika msimu huu wa Ligi Kuu, huku mashabiki wakisubiri kwa hamu kuona jinsi kikosi hiki kipya kitakavyojitokeza na kufanya maajabu.

Leave a Comment