Home Soka Mchambuzi Geoff Lea atabiri Yanga Bingwa Tena

Mchambuzi Geoff Lea atabiri Yanga Bingwa Tena

0
Mchambuzi Geoff Lea atabiri Yanga Bingwa Tena
Mchambuzi Geoff Lea atabiri Yanga Bingwa Tena

Mchambuzi wa soka kutoka Crown Media, Geoff Lea, ametoa maoni yake kuhusu msimu wa Ligi Kuu Tanzania wa 2024/25, akitabiri kuwa Klabu ya Yanga ina nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa tena.

“Kwa msimu huu wa 2024/25, mpinzani mkubwa wa Yanga ni Azam FC na sio Simba. Kuhusu nafasi za kutwaa ubingwa, naipa Yanga asilimia 50%, Azam 30%, na Simba 20%. Simba bado inajengwa, hivyo hawawezi kubeba ubingwa msimu huu,” amesema Geoff Lea.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here