Trending Now
HABARI MPYA
Habari za Michezo na Usajili Ulaya Leo (25/04/2025): Matheus Cunha, Amad Diallo, Nkunku na...
Habari za Michezo na Usajili Ulaya leo: Matheus Cunha anakaribia kujiunga na Manchester United, Amad Diallo arudi mazoezini, Nkunku anatafuta kutoka Chelsea.
Tetesi Moto za Usajili Ulaya Leo 25 Aprili 2025 – Rashford, Zubimendi, De Bruyne
Tetesi za usajili Ulaya leo 25 Aprili 2025: Arsenal wamtaka Zubimendi, Rashford kuwindwa na Spurs, De Bruyne kutoshiriki Club World Cup.
CAF Yafanya Mabadiliko ya Refa Mechi ya Stellenbosch dhidi ya Simba SC
CAF yambadilisha ghafla refa wa mechi ya Stellenbosch vs Simba SC, huku Mohamed Maarouf akichukua nafasi ya Amin Omar kutoka Misri.
Wachezaji 7 Wafukuzwa Junguni United kwa Tuhuma za Kubeti
Junguni United yafukuza wachezaji 7 kwa tuhuma za kubeti; ZFF yaombwa kuwachukulia hatua kudhibiti kamari soka la Zanzibar.
Matokeo ya Stellenbosch vs Simba SC Leo 27 April 2025 LIVE
Fuatilia matokeo ya moja kwa moja Stellenbosch vs Simba SC leo 27 Aprili 2025 - CAF Confederation Cup mkondo wa pili, Moses Mabhida Stadium.
KIKOSI Cha Simba SC vs Stellenbosch 27 April 2025
Simba SC watamenyana na Stellenbosch FC tarehe 27 Aprili 2025 kwenye nusu fainali ya CAF Confederation Cup. Tazama kikosi cha Simba kitakachoanza.
Magolikipa Wanaoongoza Kwa Clean Sheets NBC Premier League 2024/2025
Angalia orodha ya magolikipa 13 wanaoongoza kwa clean sheets NBC Premier League 2024/2025. Camara, Diarra, Muthali wote kwenye vita kali ya ubao safi.
MATOKEO ya Yanga vs KVZ FC 26 Aprili 2025
Fuatilia matokeo ya Yanga SC dhidi ya KVZ FC tarehe 26 Aprili 2025 katika robo fainali ya Kombe la Muungano moja kwa moja kutoka Uwanja wa Gombani.
Kikosi cha Yanga SC Dhidi ya KVZ FC – 26 Aprili 2025
Angalia kikosi cha Yanga SC kitakacho menyana na KVZ FC tarehe 26 Aprili 2025 katika Kombe la Muungano kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba.
Mechi za Leo Zitaamua Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika 2025
Timu zitakazofuzu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika 2025 kupatikana leo – Al Ahly vs Sundowns na Pyramids vs Pirates, zote zikiwa nusu fainali ngumu.
Kocha wa Al Ahly Marcel Koller Apambana Kuvunja Rekodi ya Pitso Mosimane CAF 2025
Kocha wa Al Ahly, Marcel Koller, awania rekodi ya mataji matatu CAF. Mchezo dhidi ya Sundowns waamua hatima yake ya kihistoria.
Matokeo ya Mechi Ligi za Ulaya 24/04/2025
Pata matokeo ya mechi Ligi za Ulaya zote za tarehe 24 Aprili 2025, zikiwemo La Liga, Coppa Italia, League One, & Turkiye Cup.