NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa – Kagera
Nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa, Kagera zimetangazwa! Jipatie fursa ya ajira leo kwa maelezo na jinsi ya kuomba nafasi hizi.
Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili wa Mchujo TRA, 23 March 2025
Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili wa Mchujo pdf, Majina ya Walioitwa kwenye Usaili wa Mchujo TRA 2025, Call For interview TRA 2025.
MAJINA ya Walimu Walioitwa Kazini UTUMISHI 23 March 2025
MAJINA ya Walimu Walioitwa Kazini UTUMISHI 23 March 2025
TANGAZO La Kuitwa Kwenye Usaili JKCI 23 March 2025
TANGAZO La Kuitwa Kwenye Usaili JKCI 23 March 2025
GGML Yatikiswa: RC Awaondoa Watumishi, Fedha za CSR Zazua Taharuki
RC Geita awaondoa watumishi wa GGML kwenye kikao cha CSR baada ya mvutano wa Sh9.2 bilioni kucheleweshwa.
Wosia Tata: Ndugu Wawili Matatani kwa Kesi ya Kughushi
Ndugu wawili Dar es Salaam wakabiliwa na kesi ya kughushi wosia wa mama yao, wakidaiwa kujipatia mali kinyume cha sheria.
Aliyemuua Mkewe na Kukamatwa Baada ya Miaka 8, Apoteza Rufaa
Nyamhanga Joseph aliyekamatwa miaka 8 baada ya kumuua mkewe, amepoteza rufaa yake. Mahakama ya Rufani imethibitisha hukumu ya kunyongwa hadi kufa.
Machafuko Mapya Sudan Kusini: Mawaziri na Majenerali Wakamatwa!
Mzozo mpya Sudan Kusini! Waziri wa Mafuta na maofisa wa jeshi washirika wa Machar wakamatwa, huku wanajeshi wakizingira nyumba yake Juba.
Luteni Feki wa JWTZ Matatani Simiyu!
Mwanamume aliyedai kuwa Luteni wa JWTZ akamatwa Simiyu kwa utapeli, akihadaa watu kuwaingiza jeshini kinyume cha sheria.
Waziri Mkuu Majaliwa Aongoza Matembezi ya Hisani, Atoa Wito Kuhusu Upatikanaji wa Vitabu
Waziri Mkuu Majaliwa azindua maadhimisho ya miaka 50 ya TET, akisisitiza upatikanaji wa vitabu shuleni na kushirikisha sekta binafsi kupunguza gharama.
VYOMBO VYA HABARI KUIMARISHA UHUSIANO WA URUSI NA AFRIKA
Urusi imeahidi kuendelea kuimarisha uhusiano wake na mataifa ya Afrika