Wafungaji Bora Ligi Kuu ya NBC Tanzania 2024/2025 Vinara Wa Magoli Top Scores NBC premier League 2024/25, wanaoongoza NBC-tutaangalia orodha ya wachezaji wanao ongoza kuwa na Magoli mengi kwenye msimu wa ligi kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na benki Ya NBC.
Wafungaji Bora Ligi Kuu ya NBC Tanzania 2024/2025
Katika kila msimu wa Ligi Kuu ya NBC, mbio za kumsaka mfungaji bora huwa ni za kuvutia na kuleta msisimko wa kipekee. Mashabiki wanakaa roho juu wakisubiri kuona nani ataibuka kuwa kinara wa mabao msimu huu.
Wachezaji wa vilabu mbalimbali, wakichanganya ujuzi na juhudi, wanatupa karata zao ili kuwania kiatu cha dhahabu — heshima ya juu kwa mfungaji aliyetikisa nyavu mara nyingi zaidi. Msimu wa 2024/2025 umejaa ushindani mkali, huku majina makubwa na chipukizi wakifanya kila wawezalo kutikisa nyavu na kuacha alama kwenye ulingo wa soka la Tanzania.
Wafungaji Bora Ligi Kuu ya NBC Mpaka sasa Mwezi Huu
Top Tanzania Premier League 2025 goal scorers
NBC PREMIER LEAGUE SCORERS
Rank | Player | Club | Position | Goals |
---|---|---|---|---|
1 | Jean Ahoua | Simba | Midfielder | 12 |
2 | Clement Mzize | Young Africans | Forward | 10 |
3 | Prince Dube | Young Africans | Forward | 10 |
4 | Steven Mukwala | Simba | Forward | 9 |
5 | Elvis Rupia | Singida BS | Forward | 9 |
6 | Leonel Ateba | Simba | Forward | 8 |
7 | Peter Lwasa | Kagera Sugar | Forward | 8 |
8 | Jonathan Sowah | Singida BS | Forward | 7 |
9 | Ki Stephane Aziz | Young Africans | Midfielder | 7 |
10 | Gibril Sillah | Azam | Midfielder | 7 |
Leave a Comment