Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC
Hapa chini ni jedwali la msimamo wa sasa la timu katika Ligi Kuu ya NBC 2024/2025 Tanzania Premier League:
Nafasi | Timu | MP | W | D | L | GF | GA | GD | Pts |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | Young Africans | 20 | 17 | 1 | 2 | 50 | 9 | +41 | 52 |
2 | Simba | 19 | 16 | 2 | 1 | 41 | 6 | +35 | 50 |
3 | Azam FC | 20 | 13 | 4 | 3 | 29 | 9 | +20 | 43 |
4 | Singida BS | 20 | 11 | 4 | 5 | 26 | 17 | +9 | 37 |
5 | Tabora | 20 | 9 | 6 | 5 | 24 | 25 | -1 | 33 |
6 | Mashujaa FC | 20 | 5 | 8 | 7 | 17 | 18 | -1 | 23 |
7 | Coastal Union | 20 | 5 | 8 | 7 | 18 | 20 | -2 | 23 |
8 | JKT Tanzania | 20 | 5 | 8 | 7 | 13 | 15 | -2 | 23 |
9 | Dodoma Jiji FC | 19 | 6 | 5 | 8 | 21 | 26 | -5 | 23 |
10 | Fountain Gate | 20 | 6 | 4 | 10 | 25 | 38 | -13 | 22 |
11 | KMC | 20 | 6 | 4 | 10 | 14 | 31 | -17 | 22 |
12 | Pamba | 20 | 5 | 6 | 9 | 11 | 18 | -7 | 21 |
13 | Namungo FC | 20 | 6 | 3 | 11 | 15 | 26 | -11 | 21 |
14 | Tanzania Prisons | 20 | 4 | 5 | 11 | 11 | 25 | -14 | 17 |
15 | Kagera Sugar | 20 | 3 | 6 | 11 | 16 | 28 | -12 | 15 |
16 | Kengold FC | 20 | 3 | 4 | 13 | 16 | 36 | -20 | 13 |
Msimu wa 2023/2024 wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania umekwisha kuacha alama zao. Yanga SC wameshinda taji mara ya tatu mfululizo baada ya kumaliza mechi 30 wakiwa na pointi 80, wakishinda mechi 26, kuchukua sare mbili na kupoteza mechi mbili pekee. Azam FC na Simba SC walifanikiwa kumaliza nafasi ya pili na ya tatu mtawalia, zote zikiwa na pointi 69, Azam FC ikishinda Simba kutokana na tofauti ya mabao.
Mwelekeo wa Msimu Mpya 2024/2025
Msimu wa 2024/2025 unatarajiwa kuleta msisimko mkubwa zaidi, huku timu zikijipanga kwa bidii kupambana na taji la ubingwa. Mashabiki wa soka wana maswali mengi kama:
- Je, Yanga SC wataweza kutetea ubingwa wao?
- Je, Azam FC na Simba SC zitaweza kuwashusha mabingwa wa zamani?
- Kuna timu gani nyingine zitakazochipuka na kuwa washindani wakuu?
Maswali haya, pamoja na mengine, yatashughulikiwa kadri msimu unavyoendelea na ushindani ukiongezeka.
Maelezo ya Jedwali:
- MP: Michezo Iliyochezwa
- W: Ushindi
- D: Sare
- L: Mechi Zilizopotezwa
- GF: Magoli Ambayo Timu Imefunga
- GA: Magoli Ambayo Timu Imefungwa
- GD: Tofauti ya Magoli
- Pts: Jumla ya Alama
Matarajio na Ushindani wa Ligi
Ushindani katika Ligi Kuu ya NBC 2024/2025 umekuwa mkali, na kila timu inafanya jitihada kubwa ili kujipatia nafasi bora. Washabiki wanatarajia kuona michezo yenye mvuto, tukio la soka ambalo halitamalizika kwa matokeo tu bali pia litakumbukwa kwa ubora na msisimko wake.
Leave a Comment