Kikosi Rasmi cha Simba SC vs KMC Leo 11 Mei 2025

0
Kikosi Rasmi cha Simba SC vs KMC Leo 11 Mei 2025
Kikosi Rasmi cha Simba SC vs KMC Leo 11 Mei 2025

Kikosi Rasmi Simba SC vs KMC SC Leo 11 Mei 2025

Mechi kali ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Premier League) kati ya KMC na Simba SC inachezwa leo Jumapili, tarehe 11 Mei 2025, saa 10:00 jioni kwenye uwanja wa KMC Complex, Kinondoni. Hii ni moja ya mechi zinazovuta hisia za mashabiki wengi kutokana na ukubwa wa timu zinazokutana.

Kikosi rasmi cha Simba SC dhidi ya KMC leo:

1. CAMARA
2. KAPOMBE
3. HUSSEIN
4. CHE MALONE
5. HAMZA
6. NGOMA
7. MAVAMBO
8. KIBU
9. MPANZU
10. AHOUA
11. ATEBA

Kikosi cha Simba bado hakijathibitishwa rasmi, lakini mashabiki wanatarajia kuona wachezaji wake tegemeo kama Awesu Awesu, Miraji Athumani, na Ramadhan Kapera wakipewa nafasi kwenye kikosi cha kwanza.

Hii ni mechi ya muhimu kwa pande zote mbili, na mashabiki wanatarajia pambano la ushindani mkubwa uwanjani leo.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here