Viingilio vya Mechi ya Simba vs Stellenbosch Aprili 20
Viingilio Simba vs Stellenbosch Aprili 20 vimetangazwa rasmi; tiketi kuuzwa kwa mfumo wa N-Card pekee kupitia vituo vilivyoidhinishwa.
Matokeo ya Bournemouth vs Fulham: Nani Alishinda? (Apr 14, 2025)
Pata matokeo ya mechi ya kusisimua kati ya Bournemouth na Fulham iliyochezwa tarehe 14 Aprili 2025. Matokeo ya Bournemouth vs Fulham
Matokeo ya Atlético Madrid vs Valladolid: Goli la Ushindi!
Je, Atlético Madrid waliweza kuwashinda Valladolid? Pata matokeo ya Atlético Madrid vs Valladolid na muhtasari wa mechi hapa.
Singida Black Stars VS Simba Nusu Fainali ya Kombe la FA
Singida Black Stars VS Simba nusu fainali FA baada ya kuifunga Kagera Sugar; JKT Tanzania nao watakutana na mshindi wa Yanga vs Stand United.
SIMBA vs Stellenbosch: Nusu Fainali CAF Kuhamishiwa Zanzibar
SIMBA vs Stellenbosch: Simba SC kuikaribisha Stellenbosch FC Zanzibar katika nusu fainali ya CAF, baada ya Benjamin Mkapa kufungwa kwa muda na TFF.
Vilabu bora Afrika 2024/2025 kwa mujibu wa CAF
Orodha ya Vilabu bora Afrika 2024/2025 kwa mujibu wa CAF. Al Ahly yaongoza, Simba na Yanga zasogea juu kwa pointi za mashindano ya kimataifa.
Ratiba ya CRDB Federation Cup 2025 – Mechi za Robo na Nusu Fainali
Ratiba ya CRDB Federation Cup 2024/2025 ikijumuisha robo fainali na nusu fainali, Simba, Yanga, na timu zingine zikisaka taji la msimu huu.
Ratiba ya Nusu Fainali CAF Champions League 2024/2025
Tazama ratiba kamili ya nusu fainali CAF 2024/2025 kati ya Mamelodi Sundowns, Al Ahly, Orlando Pirates na Pyramids FC.
MATOKEO Simba vs Mbeya City Leo – CRDB Federation Cup (13 Aprili 2025
Simba SC yaichapa Mbeya City 3-1 katika Robo Fainali ya CRDB Federation Cup 13 Aprili 2025, mabao yakifungwa na Ngoma, Ateba na Mutale.
VILABU 30 BORA AFRIKA 2024/25: Simba na Yanga Wapanda Chati CAF!
Orodha kamili ya vilabu 30 bora Afrika baada ya robo fainali. CAF Club Ranking 2024/25: Simba SC yatinga Top 4, Yanga SC nafasi ya 11.
Simba SC Yatinga Top 4 Afrika! Yawa Tishio CAF 2024/25
Simba SC yapanda hadi nafasi ya 4 Afrika kwenye viwango vya CAF 2024/25, Yanga ya 11. Orodha kamili ya vilabu 30 bora Afrika.
UWANJA wa Benjamin Mkapa Wafungwa Kwa Muda Usiojulikana
Uwanja wa Benjamin Mkapa wafungwa ghafla Aprili 9, 2025 kwa ukarabati baada ya mvua kuharibu eneo la kuchezea.
Simba SC Kucheza na Stellenbosch Nusu Fainali CAF
Simba SC kukutana na Stellenbosch ya Afrika Kusini kwenye Nusu Fainali CAF, mechi ya kwanza Aprili 20 Dar, marudiano Aprili 27 Afrika Kusini.
Matokeo ya Lyon vs Man United Leo 10/04/2025
Matokeo ya Lyon vs Man United Leo 10/04/2025: Lyon wakipambana na Man United katika mchuano mkali wa soka