Home Michezo Page 3

Michezo

Man Utd Wafanya Miujiza Old Trafford, Wafufua Ndoto za Europa League

Man Utd Wafanya Miujiza Old Trafford, Wafufua Ndoto za Europa League

0
Man Utd walifanya miujiza dhidi ya Lyon kwa kushinda 5-4 kwa jumla, wakirejea kutoka nyuma kwa dakika za lala salama katika Europa League.
Tetesi za Soka - Arsenal na Real Madrid Waingia Sokoni

Tetesi za Soka – Arsenal na Real Madrid Waingia Sokoni

0
Arsenal wanamuwinda Kingsley Coman, huku Real Madrid wakigeukia Haaland. Tetesi zote kuu za usajili Ulaya ziko hapa leo Ijumaa.
Mapambano ya Taasisi za Serikali Ligi Kuu Tanzania Bara Leo

Mapambano ya Taasisi za Serikali Ligi Kuu Tanzania Bara Leo

0
Tanzania Prisons vs JKT Tanzania na KMC vs Dodoma Jiji leo Ligi Kuu. Mechi muhimu kwa waliopo chini kuepuka kushuka daraja.
Azam FC Yarudi Vitani Kusaka Nafasi ya Nne Bora

Azam FC Yarudi Vitani Kusaka Nafasi ya Nne Bora

0
Kocha wa Azam FC Rachid Taoussi asema timu yake bado inawania nafasi ya nne bora Ligi Kuu huku wakijiandaa kuivaa Kagera Sugar ugenini.
CAF Yapiga Faini MC Alger na Esperance kwa Vurugu za Mashabiki

CAF Yapiga Faini MC Alger na Esperance kwa Vurugu za Mashabiki

0
CAF yaziadhibu MC Alger na Esperance kwa vurugu za mashabiki na maofisa wao kwenye mechi za robo fainali dhidi ya Pirates na Sundowns.
Stellenbosch Wakiwa Kwenye Moto Mkali, Simba SC Wana Kibarua Kigumu CAFCC

Stellenbosch wapo kwenye kiwango bora, Simba SC Wana Kibarua Kigumu CAFCC

0
Stellenbosch wapo kwenye kiwango bora sana, Simba SC wanakutana na changamoto kubwa kwenye Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho CAF.
Yanga Yawinda Kumsajili Henock Inonga kwa Lengo Maalum

Yanga Yawinda Kumsajili Henock Inonga kwa Lengo Maalum

0
Yanga SC waanza mchakato wa kumrejesha beki Henock Inonga Baka ili kuimarisha safu ya ulinzi kwa msimu ujao wa Ligi Kuu ya NBC.
Yanga Yawania Kumsajili Tena Fei Toto Kuziba Nafasi ya Stephane Aziz Ki

Yanga Yawania Kumsajili Tena Fei Toto Kuziba Nafasi ya Stephane Aziz Ki

0
Yanga SC yampa ofa nono Fei Toto ya kurudi Jangwani kuziba nafasi ya Aziz Ki, ikiwemo mshahara mkubwa, gari na nyumba ya kifahari.
Makudubela Ametisha Congo Baada ya Kukosa Kung'ara Yanga

Makudubela Ametisha Congo Baada ya Kukosa Kung’ara Yanga

0
Skudu Makudubela ambaye hakufaulu Yanga sasa ni moto wa kuotea mbali Congo, akifunga mabao 10 na kutoa assist 4 kwenye mechi 6 tu.
Ratiba Rasmi ya Nusu Fainali Kombe la Shirikisho CRDB

Ratiba ya Nusu Fainali Kombe la Shirikisho CRDB 2024/2025

0
Yanga vs JKT Tanzania na Simba vs Singida Black Stars kucheza Nusu Fainali CRDB Federation Cup Mei 16-18, 2025.
Matokeo ya Inter vs Bayern

Matokeo ya Inter vs Bayern: Nerazzurri Waleta Furaha kwa Ushindi

0
Matokeo ya Inter vs Bayern Soma hapa kujua jinsi Inter walivyowashinda Bayern na kutinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa!
Matokeo ya Real Madrid vs Arsenal

Matokeo ya Real Madrid vs Arsenal: Gunners Yawaduwaza Mabingwa

0
Je, unataka kujua matokeo ya Real Madrid dhidi ya Arsenal? Soma makala haya kujua jinsi Arsenal walivyowashangaza Real Madrid katika Ligi ya Mabingwa!
Victor Osimhen Aweka Wazi Hatma Yake

Victor Osimhen Aweka Wazi Hatma Yake, Akaribia Kuondoka Galatasaray

0
Victor Osimhen azungumzia hatma yake huku akihusishwa na vilabu vya EPL; Galatasaray yatamani abaki licha ya msimu bora Uturuki.
Simba na Yanga Katika Vita ya Kumsajili Fei Toto

Simba na Yanga Katika Vita ya Kumsajili Fei Toto wa Azam

0
Simba na Yanga waanza harakati za kumsajili Fei Toto huku Azam ikimwekea ofa ya zaidi ya Sh900 milioni, lakini kiungo huyo ang’ang’ania kwenda nje.

MOST COMMENTED

Machafuko Mapya Sudan Kusini: Mawaziri na Majenerali Wakamatwa!

0
Mzozo mpya Sudan Kusini! Waziri wa Mafuta na maofisa wa jeshi washirika wa Machar wakamatwa, huku wanajeshi wakizingira nyumba yake Juba.

HOT NEWS