Matokeo ya Michezo ya Soka Ulaya (22/04/2025)
Matokeo ya soka Ulaya 22/04/2025: EPL, Ligi ya Mabingwa, La Liga, Serie A. United vs Liverpool, Real Madrid, Barcelona na zaidi! Fuatilia hapa.
Rais Samia Alipia gharama za Simba Mechi Dhidi ya Stellenbosch
Rais Samia afadhili safari na malazi ya Simba kuelekea Afrika Kusini kwa mechi ya marudiano dhidi ya Stellenbosch, Kombe la Shirikisho Afrika.
Tetesi za Usajili Ulaya Jumatano 23 Aprili 2025
Tetesi za usajili Ulaya: Man United wamnyatia Osimhen, Cunha awaniwa na klabu nne, Wirtz akivutia City, Liverpool na Arsenal.
Kikosi cha Simba SC kinachoenda South kuikabili Stellenbosch
Kikosi cha Simba SC cha wachezaji 23 chasafiri kwenda Afrika Kusini kwa mechi ya marudiano dhidi ya Stellenbosch tarehe 27 Aprili 2025.
Simbu Aweka Historia Boston Marathon 2025, Ashika Nafasi ya Pili
Simbu ashika nafasi ya pili Boston Marathon 2025 na kushinda TZS milioni 201.4, akiipa Tanzania heshima ya kimataifa.
Tetesi za Usajili Ulaya Leo Jumanne 22 Aprili 2025
Man United wataka mrithi wa Onana, Arsenal wamtamani Gyökeres, Tottenham waingia kwenye mbio za Renato Veiga. Tetesi zote za usajili 22 Aprili 2025.
Msimamo wa Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2024/2025 Premier League
Msimamo wa NBC Premier League 2024/2025: Yanga SC yaongoza, Simba na Azam wakifuatia. Angalia alama, nafasi na takwimu kamili za vilabu.
Wafungaji Bora NBC 2024/25 Ligi Kuu Tanzania
Orodha ya wafungaji bora NBC Premier League 2024/25 hadi Aprili 10. Ahoua na Dube watinga kileleni na mabao 12 kila mmoja.
Idadi ya Makombe ya Simba SC Kuanzia 1936 Hadi 2025
Simba SC imetwaa makombe zaidi ya 50 tangu 1936, yakiwemo ya ligi, FA, Ngao ya Jamii, Kagame Cup na mashindano mengine ya ndani.
Timu zenye makombe mengi Tanzania hadi 2025
Fahamu klabu zenye makombe mengi Tanzania, historia ya mafanikio ya Yanga, Simba na Azam, na mchango wao katika kukuza soka nchini.
Makombe ya Simba na Yanga hadi 2025: Yupi Anaongoza?
Orodha ya makombe ya Simba na Yanga hadi 2025. Yanga inaongoza kwa makombe ya ligi, Simba ina rekodi nzuri kimataifa.
Matokeo Yanga SC Dhidi ya Fountain Gate Leo Tarehe 21 Aprili 2025
Yanga SC yaibuka na ushindi wa goli 4 dhidi ya Fountain Gate katika mechi ya Ligi Kuu ya NBC leo Aprili 21, 2025.
Tetesi za Usajili Ulaya Leo Jumatatu, 21 April 2025
Tetesi za Usajili Ulaya Leo Jumatatu, Liverpool na Man United wametajwa kumwania Xavi Simons wa RB Leipzig huku bei yake ikifikia £70m.
Fountain Gate FC vs Yanga SC Leo 21 Aprili 2025 – Saa na Uwanja
Yanga SC watavaana na Fountain Gate FC leo 21 Aprili 2025 saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, katika Ligi Kuu NBC. Fountain Gate FC vs Yanga SC